Dk. Mwinyi aiomba Serikali ya Qatar kuwashajihisha Wawekezaji wa nchi hiyo kuja nchini kuwekeza katika sekta za Utalii, Uvuvi, mafuta na Gesi.

STATE HOUSE ZANZIBAR     OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar                                                                         Juni 17 , 2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameiomba Serikali ya Qatar  kuwashajihisha Wawekezaji wa nchi hiyo kuja nchini kuwekeza katika sekta za Utalii, Uvuvi pamoja na mafuta na Gesi.    Dk. Mwinyi ametoa ombi